Naombeni kujua je Mwanamke kutoa maziwa ni tatizo au ni kawaida

Duuh ulikuwa unayanyonya nn mkuu uakajukuta unafyonza na maziwa
 
Asante sana ndugu yangu
 
It aint bout trustin nobody....

It's whether you have medical facts or nuh...

Hizi reasons nyingine sijui unawajua wanawake vizuri and blah blah...zinafaa kwa topic nyingine si hii
Sijakulazimisha uamini ila 98% kafanya hivyo
 
Nina mpenzi wangu, anatatizo hili pia.
HAJAWAHI KUWA NA MIMBA, WALA KUTOA MIMBA.
 
Uyo akaone docta
 
Basi umeshinda mshauri mlengwa apone
It aint bout trustin nobody....

It's whether you have medical facts or nuh...

Hizi reasons nyingine sijui unawajua wanawake vizuri and blah blah...zinafaa kwa topic nyingine si hii
 
Nijuavyo mimi huyo aliwahi toa mimba na haiwezi kumtokea binti kamwe au ambaye hajawahi kuingia kwenye uzazi.Over.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…