Naombeni kujua kuhusu sheria ya matumizi ya VPN Tanzania

Uko sawa kabisa
 
Watu Tunaserereka Bila UFO VPN Basic
Wamebana Wameachia
 
Membe, bonnah, polepole jana wamepost twitter na wakati mitandao yote iko jammed, kama ni kosa kutumia VPN basi watueleze wamewezaje ku access hizo sites
Na si hao tu msemaji wa serekali amepost rais wa zanzibar amepost na wengi kweli kweli
 
Yaani hujaona sehemu waliyosema kuwa kufungua kwa namna yoyote ile mawasiliano yaliyofungwa ni kosa?
Kufunga mitandaoni bila kutoa taarifa kwa mteja ni kosa pia, ukiunga kifurushi wanakata pesa na kukupa data. Wangezuia kabisa kujiunga na internet ili kuepusha wizi wanaofanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…