Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tezidume ni kiungo cha uzazi cha mwanaume kilicho chini ya kibofu cha mkono, kiungo hicho ndipo mkojo na shahawa vinakopita. Ni kiungo ambacho kina virutubisho vinavyowezesha mwanaume kumpa mimba mwanake. Ni kiungo muhimu sana kwa uume wa mwanaume.Namba unavyoambukizwa
Dalili
Vipimo
Namba unavyoambukizwa
Dalili
Vipimo
Tezidume ni kiungo cha uzazi cha mwanaume kilicho chini ya kibofu cha mkono, kiungo hicho ndipo mkojo na shahawa vinakopita. Ni kiungo ambacho kina virutubisho vinavyowezesha mwanaume kumpa mimba mwanake. Ni kiungo muhimu sana kwa uume wa mwanaume.
Tezidume si ugonjwa, bali ni kiungo, ila kama chemchembe za damu zilizo ndani ya tezidume zinapoasi na kufuata mfumo usiyo rasmi basi husababisha tezidume kuanza kuadhirika na ugonjwa wa saratani..hivyo kupelekea ugonjwa huo kuitwa saratani ya tezidume.