Bapalidako
Member
- Aug 6, 2024
- 79
- 166
Ndio uweke hicho kifungu kinachosema hivyo, au hujaelewa swali la mtoa mada?Katiba inaruhusu soma vizuri
Ajisomee katiba imeandikwa kwa kiswahiliNdio uweke hicho kifungu kinachosema hivyo, au hujaelewa swali la mtoa mada?
Sasa hapo mathematics inatoka wapi?Katiba ya Chama chake ndio inayomruhusu na ndiyo anayoifuata na Chama chake kimeona anatosha kupeperusha bendera ya Chama kwahiyo anakuwa hazuiwi na Katiba ya Nchi !!
It’s very simple mathematics 🧮. 🙌
Umesoma katiba lakini? Samia anaruhusiwa na Katiba na hii ndiyo mara yake ya mwisho, 2030 hataruhusiwa!Iko hivi ni kweli katiba yetu inaruhusu makamu wa Rais kurithi kiti cha Urais pindi Rais aliyeko madarakani anapofariki
Swami langu,kama Magufuru angekuwepo huu ndiyo ulikuwa muhura wake wa mwisho, inamaana hata rifti aliyoipata Samia ndiyo inaishia hapo, Sasa hiki kipengere cha kumrusu Samia kugombea tena muhura mwingine kakitoa wapi?
Nina maana swali lililoulizwa halihitaji Elimu kubwa kulijibu 😅🙏Sasa hapo mathematics inatoka wapi?
December hoi bin taabani !CC
Humphrey Polepole huko aliko
Nadhani ndiyo maana Timu December ilishaanza kujipanga for 2025
Jibu swali lililoulizwa siyo kusifia tuHuu muda kautumie kujifunza kuandika lugha yako kwa ufasaha kwanza,
Ujumbe sahihi hufikishwa kwa lugha sahihi.
Katiba haijaainisha hilo suala kwamba kama ikitokea kama ilivyotokea inatakiwa iwe hivi au vile. !Mtoa mada anahitaji "Article" kwenye katiba, jibu swali
It's a simple CIVICS.
#YNWA
Inamaana huko CCM hakuna wanaume wenye uwezo wa kugombea mpaka wamuachie huyu mama atuongoze tena kwa miaka 5,naamini Kama uchaguzi utakuwa wa Uhuru na haki hatoboiKatiba haijaainisha hilo suala kwamba kama ikitokea kama ilivyotokea inatakiwa iwe hivi au vile. !
Ndio maana yeye atagombea kama mgombea aliyeteuliwa na Chama chake kupitia katiba yao na kanuni zao za Chama ! Full stop 🛑
Katiba iliyopo inataka mgombea awe ni aliyeteuliwa na Chama cha siasa kugombea URais !
Ikichunguzwa sana hii Katiba inaweza ikamruhusu kama atashinda Uchaguzi 2025 basi na 2030 anaweza akagombea kipindi cha pili cha miaka mitano !
Hii awamu ya sita ni ya dharura tu iliyotokea 😳🙄 !
Au nasema uongo ndugu zanguni ??!
Kipindi kilichopo kinahesabika ni kama kipindi cha dharura tu kutokana na kilichotokea!... unataka aamke agombee vipindi viwili?
😅