HILI NALO MKALITAZAME.
Nawaagiza akina Kasimu na Kabudi mwende mkapekue pekue kwenye katiba yetu muone kama mama yenu nitagombea tena urais.
Hata mimi mama yenu sijui kama katiba yetu inaniruhusu kugombea tena au la, kwahiyo nawaagiza mwende MKALITAZAME kwa makini.
Na suala JENGINE, hakikisheni tunawabinya wapinzani ndani na nje ya chama kabla hawajafurukuta na kuanza kuleta "vijichoko choko".
Nimewaagiza kwa sababu nawaamini. Kabudi umekuwa kwenye Tume ya makinikia kwa muda mrefu kwahiyo nina imani na uzoefu wako. Mdogo wangu kamanda siro na wewe pia tunakutegemea kwenye "ulinzi shirikishi".
Tanzania ni yetu sote, sio yangu samia peke yangu. Tanzania oyeee!! Tanzania safiii!!
HAKIKISHENI MAMA YENU NASHINDA KWA KISHINDO CHA TEMBO.
MKINIKUNA NITAWAKUNA.
Cc:
Lamomy Poor Brain mshamba_mwingine Extrovert NAMBA MOJA AJAYE NCHINI DR Mambo Jambo min -me