ziana
Member
- Nov 23, 2016
- 45
- 32
Habarini za mchana ndugu nahisi mu wazima wa afya
wapendwa naombeni mnijuze siku ya hatari ya kushika ujauzito.
Nimeanza kupata period kwa mwezi huu wa 12 (tarehe2-6) ndo namaliza naombeni mnifahamishe siku zangu za hatari za kushika ujauzito zitakuwa ni tarehe ngapi.
Nawasilisha[emoji120]
wapendwa naombeni mnijuze siku ya hatari ya kushika ujauzito.
Nimeanza kupata period kwa mwezi huu wa 12 (tarehe2-6) ndo namaliza naombeni mnifahamishe siku zangu za hatari za kushika ujauzito zitakuwa ni tarehe ngapi.
Nawasilisha[emoji120]