Uwezekano ni 80%Unaweza kuta ni mwanaume huyu
Hio minofu kwenye DP ni yako?Natumai nyote mu wazima [emoji3]
Nimevutiwa sana na mtandao huu pendwa wa jamii forums, leo nimeamua kujiunga na chama rasmi. Naombeni kukaribishwa na kupokelewa kama mwanachama hai, natumai sintowaangusha[emoji39][emoji39]
Napenda sana na nnavutiwa na jukwaa la jokes na MMU, Nina mengi ya kuwaeleza[emoji1786][emoji1786]
Utaratibu uko vipi humu ndani?
Nawapenda nyote[emoji3059][emoji3059][emoji3059]
[emoji120][emoji120][emoji120]
Karibu sana jukwaa la Wakubwa hapa!Natumai nyote mu wazima [emoji3]
Nimevutiwa sana na mtandao huu pendwa wa jamii forums, leo nimeamua kujiunga na chama rasmi. Naombeni kukaribishwa na kupokelewa kama mwanachama hai, natumai sintowaangusha[emoji39][emoji39]
Napenda sana na nnavutiwa na jukwaa la jokes na MMU, Nina mengi ya kuwaeleza[emoji1786][emoji1786]
Utaratibu uko vipi humu ndani?
Nawapenda nyote[emoji3059][emoji3059][emoji3059]
[emoji120][emoji120][emoji120]
[emoji23][emoji23][emoji23] JamanThread 'Karibu JF Mgeni. Naomba nikutambulishe kwa familia yetu' Karibu JF Mgeni. Naomba nikutambulishe kwa familia yetu
AsanteKaribu sana rosee...
[emoji848][emoji848][emoji3][emoji3]Una miaka mingapi?
[emoji3][emoji3] thanksHio minofu kwenye DP ni yako?
Anyways... karibu JF
Una uhakika unatupenda wote kweli hadi ndugu yangu mzabzab[emoji848][emoji848][emoji3][emoji3]
Naona pisi kali imejiunga jf. Toto rose ana upaja sexyUna uhakika unatupenda wote kweli hadi ndugu yangu mzabzab
Sent from my VTR-L29 using JamiiForums mobile app
Nimekutag mkuu najua utamfundisha mengi Sanaa. Pia utamtembeza tembeza kidogo ayajue mazingiraNaona pisi kali imejiunga jf. Toto rose ana upaja sexy
Ondoa shaka kakaNimekutag mkuu najua utamfundisha mengi Sanaa. Pia utamtembeza tembeza kidogo ayajue mazingira
Sent from my VTR-L29 using JamiiForums mobile app