Naombeni kukaribishwa jukwaani

Naombeni kukaribishwa jukwaani

roselyn2

Member
Joined
Jun 7, 2022
Posts
86
Reaction score
388
Natumai nyote mu wazima [emoji3]

Nimevutiwa sana na mtandao huu pendwa wa jamii forums, leo nimeamua kujiunga na chama rasmi. Naombeni kukaribishwa na kupokelewa kama mwanachama hai, natumai sintowaangusha[emoji39][emoji39]

Napenda sana na nnavutiwa na jukwaa la jokes na MMU, Nina mengi ya kuwaeleza[emoji1786][emoji1786]

Utaratibu uko vipi humu ndani?

Nawapenda nyote[emoji3059][emoji3059][emoji3059]

[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Natumai nyote mu wazima [emoji3]

Nimevutiwa sana na mtandao huu pendwa wa jamii forums, leo nimeamua kujiunga na chama rasmi. Naombeni kukaribishwa na kupokelewa kama mwanachama hai, natumai sintowaangusha[emoji39][emoji39]

Napenda sana na nnavutiwa na jukwaa la jokes na MMU, Nina mengi ya kuwaeleza[emoji1786][emoji1786]

Utaratibu uko vipi humu ndani?

Nawapenda nyote[emoji3059][emoji3059][emoji3059]

[emoji120][emoji120][emoji120]
Hio minofu kwenye DP ni yako?

Anyways... karibu JF
 
Natumai nyote mu wazima [emoji3]

Nimevutiwa sana na mtandao huu pendwa wa jamii forums, leo nimeamua kujiunga na chama rasmi. Naombeni kukaribishwa na kupokelewa kama mwanachama hai, natumai sintowaangusha[emoji39][emoji39]

Napenda sana na nnavutiwa na jukwaa la jokes na MMU, Nina mengi ya kuwaeleza[emoji1786][emoji1786]

Utaratibu uko vipi humu ndani?

Nawapenda nyote[emoji3059][emoji3059][emoji3059]

[emoji120][emoji120][emoji120]
Karibu sana jukwaa la Wakubwa hapa!
 
Back
Top Bottom