Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 4,548
- 9,740
Za muda huu wakuu,
Kama kichwa kinavojieleza nahitaji kuwasiliana na Kikuu Tanzania kwani Juzi niliamua kununua bidhaa kikuu na nikaamua kulipia kwa M-Pesa Online na hela ikakatwa kama kawaida lakini kwenye mtandao wao inaonesha bidhaa hio sijailipia.
Nikaamua kuanza kuwasiliana nao na nikachukua email ya nimewatumia ujumbe toka juzi na hawajajibu. Huduma yao ya Live Chat nayo nikiwatumia text hawajibu.
Sasa jamani naomba msaada kwa mtu ambae anaweza nisaidia mawasiliano mengine na hawa jamaa wanao onesha nia ya kunidhulumu.
Kama kichwa kinavojieleza nahitaji kuwasiliana na Kikuu Tanzania kwani Juzi niliamua kununua bidhaa kikuu na nikaamua kulipia kwa M-Pesa Online na hela ikakatwa kama kawaida lakini kwenye mtandao wao inaonesha bidhaa hio sijailipia.
Nikaamua kuanza kuwasiliana nao na nikachukua email ya nimewatumia ujumbe toka juzi na hawajajibu. Huduma yao ya Live Chat nayo nikiwatumia text hawajibu.
Sasa jamani naomba msaada kwa mtu ambae anaweza nisaidia mawasiliano mengine na hawa jamaa wanao onesha nia ya kunidhulumu.