...........ya nini malumbano, ya nini maneno ooooooh,
najiweka pembeni naepusha msongamano oooh,
bora nitulieee, ningoje changu na mie eeeeeeeeeeh!!!
Kaka B katumia busara sana, kujiweka pembeni!
Inaonyesha kaka A, hajiamini isitoshe ni mwoga!!
Shosti nae aonyeshe msimamo wake, au ndo zile sitaki nataka?
Sio mbaya ukiwa serious... BUT guys seriously there comes a time to GROW up!! lol
Ukisikia wamewekeana dau ujue ni wasanii. Linapokuja suala la kupigania wife materials sidhani kama kuna compromise hapo!
Huyo naye hajui analolitaka. Kama B anacheza offside trick katika mazingira ya hatari sana. Believe me, akimkosa tu huyo dada, it will cost him a great fortune!
Ha ha ha, Kaka B aacheza offide trick kwa vile kashaona mshika kibendela yuko upande wake lol.
Maneno ya vijiweni yanatupoteza sana tatizo letu lol.
Maneno ya kijiweni AW si mabaya, but yatakiwa mtashi kuelewa what to folo and wat to not...lol
Wachache sana tunajua yapi ya kupuuza n yapi ya kuyafata lol.
Jamani kuna mtu kanionea Asha D?
Mkimwona mwambieni babu alikuwa anamtafuta eti. Hajamsalima tangu ijumaa.
Afu mwambieni babu amemwagiza amshauri Cheusimangala kuhusu shosti wake na makaka A na B.
Ripoti aniletee huku chumbani, nilikolala.
Babu wa Lizzy... (na wangu.. ingawa kijana wako anagwaya...lol)
Heshima kwako Mkuu... Najua mimi ni mtu mdogo saana kujibu ili
ila sababu ni pacha wa Asha D naamini kua hutakwazika kuleta ujumbe
moja kwa moja....
Kwanza anatuma salamu saaana
Pili anakuomba msamaha kwa kuondoka gafla..
tena bila taarifa kwa babu
Tatu anaomba muweze mpokea Ashadii kwa mikono
miwili maana tupo tumbo moja mama mbali mbali...
Ni hayo tu mkuu, hope usingizi hujakupitia...
Ashadii.............. Asha D........:sleepy::sleepy:
Hii ni coincidence au babu anazeeka vibaya?πeep:πeep:
Anyway, mwambie wakati babu anaendelea kufanya upembuzi yakinifu, salamu zake nimezipokea kwa mikono yote.....Na kwa kuwa umesema we ni pacha wake (damn, sikuwa na taarifa wa sikujua ule ujauzito wa mwanangu ungeweza kutoa mapacha)...hebu msaidie shosti wa cheusie namna ya kuachana na A na kuhamia B....si unajua maisha lazima yasonge mbele?
Kwa kuwa wewe bado sijakufanyia tambiko, ripoti niletee hapa barazani....ukiwa na mkongojo (si wa kichina) na ugoro...... Nipe namba za simu za Asha D tafazali.
Mara moja inaweza kutokea lolz just kiddinWewe Asha,
Did u ever think kwamba simba na chui wanaweza kukaa pamoja na kukubaliana nani amle swala hata kama hawajamuua? Forget about that.
Wakikaa pamoja basi ujue matokeo ya hiyo paradox yatakuwa makubwa kuliko paradox yenyewe!
The Boss utashangaa hii ishu kama haijala upande wa huyu shosti, maana naona hadi sasa anaenda kupiga penati huku mpira ukiwa hauna pumziwe always want what we cant have
its a human nature
cha kufanya hapo ni kumkwepa a kabisa
mpaka b aone kuwa mlango upo wazi
halafu aanze yeye kumtafuta b kwa outings