dah, kweli kugawana ni kujali ,
na hili ndo nahisi kabisa linaweza tokea.....lol...
Asante babu... bora wewe slow learner, wengine sio learners kabisa hasa kama mnvi zimetanda...
Chumbani nakuja bila kuchelewa na sababu nina nafasi nzuri na bb hayupo (mjukuu wako kanidokeza),
naona nije nifanye na usafi kidogo na mashuka mapya ya nyuzi za Egypt... nikiambatana na faili lenyewe..
Ujumbe kwa Cheusi umefika!!!!
Huyo kaka A mzembe kweli mpaka abustiwe na kaka B ndio ajue umuhimu wa huyo dada? Nikajua guiness kwa wanawake, valuu si kwa wanaume tu maana wote tukinywa valuu itatoka cheche pale jinsi ya ukavuHahahaha Gaga unajua akipewa mmoja itaonekana mwingine kaonewa wkt yeye alikuwa wa kwanza kujuana.
Fikiria kipindi wanajuana na kaka A alafu kaka A akaamua kurusha ndoano si sasa hivi angekuwa anamegwa na kaka A.
Hapo hapo kaka A kamtambulisha kaka B kwa huyo binti alafu binti kakolea kwa kaka B yawezekana kaka A alikuwa anavuta pumnzi
Hahahaha hiyo Guinness haifikii Valuu hata kwa chembe zaidi zaidi unaweza jikuta unachezea mouse.
Aaamue moja kutowapa wote lasivyo italeta ugomvi.
Lakini hapo hapo atakuja gia kuwa wewe unataka umpindue kwa kaka B angalia sana nalo.
Kama anaamua kumpa kaka B bora na kaka A nae apewe maana asinge mjua bila ya kaka A
Wote wafikiriwe mbuchuchu
Huyo kaka A mzembe kweli mpaka abustiwe na kaka B ndio ajue umuhimu wa huyo dada? Nikajua guiness kwa wanawake, valuu si kwa wanaume tu maana wote tukinywa valuu itatoka cheche pale jinsi ya ukavu
Oooops at last umenambia umuhimu wa guiness mwisho ngapi? sasa yeye kaka A kachelewa machemistry yameshakubali kwa kaka BKwani hujui kutongoza lazima upate stata? usipo pata inaweza chukua hata karne ukaja kumtongoza uzeeni.
Alafu kutongoza nayo ni sanaa lazima uwe na kipaji kweli kweli
Alafu wanawake mnashauriwa mnywe Guinness ni nzuri sana kwa wanawake munkari unapanda sana.
we always want what we cant have
its a human nature
cha kufanya hapo ni kumkwepa a kabisa
mpaka b aone kuwa mlango upo wazi
halafu aanze yeye kumtafuta b kwa outings
Huyo kaka A mzembe kweli mpaka abustiwe na kaka B ndio ajue umuhimu wa huyo dada? Nikajua guiness kwa wanawake, valuu si kwa wanaume tu maana wote tukinywa valuu itatoka cheche pale jinsi ya ukavu
Hivi hii room utaifanyia usafi kwa fagio za chelewa au utapiga deki kwa gunia?
dear asha mim ni mzima,hopefuly na wewe ni mzima,
asante kwa mchango wako,
shosti wangu ana uhakika kuwa kaka B hana nia ya kumchezea,bali A ndio anaonekana kuwa hana nmalengo ya muda mrefu na shosti wangu.
Hahahaha Gaga unajua akipewa mmoja itaonekana mwingine kaonewa wkt yeye alikuwa wa kwanza kujuana.
Fikiria kipindi wanajuana na kaka A alafu kaka A akaamua kurusha ndoano si sasa hivi angekuwa anamegwa na kaka A.
Hapo hapo kaka A kamtambulisha kaka B kwa huyo binti alafu binti kakolea kwa kaka B yawezekana kaka A alikuwa anavuta pumnzi
Hahahaha hiyo Guinness haifikii Valuu hata kwa chembe zaidi zaidi unaweza jikuta unachezea mouse.
Asha dear,tofautisha 'mapenzi' na 'tamaa' (love and lust), hizi njemba ni wazi kila mmoja anatengeneza mchongo wa kula mzigo tu hakuna mapenzi hapa ndo mana wanachorana na inavyoelkea hata shosti naye anawachora.I get! Hata hivyo i don't trust the guys...
personally am very wary of guys ambao ni friends and
woote they are interested in me...
I could end up kutopenda woote maana wote hawanipendi
for if they did wangekua considerate kwangu..
Tatizo kubwa....moper si mambo ya wazungu?......Na umri huu babu ataweza mabo ya kizungu?...Hebu acha uvivu, njoo na gunia, inamisha kiuno chako upige deki..........!Babu nimefundwa kwetu, chumba hupitishwa deki kuepusha vumbi maeneo
mengine na pia kuepusha vumbi hasa kwa watu wenye allergies na wazee kama wewe...lol
Kuepusha matatizo sitatumia dekio la kuinama (gunia), nitatumia zile moper ndefu...
Vipi kuna tatizo???
Nje ya mada kidogo!
Ashadii una uhusiano wowote na homeboy wangu Steve DII? Im curious.....
Yeah ...The Dii Part.....something more? Do I need Microscope?Rev really don't know where it is coming from (your curiosity....)
Is it the Dii Part???
Asha dear,tofautisha 'mapenzi' na 'tamaa' (love and lust), hizi njemba ni wazi kila mmoja anatengeneza mchongo wa kula mzigo tu hakuna mapenzi hapa ndo mana wanachorana na inavyoelkea hata shosti naye anawachora.
Tatizo kubwa....moper si mambo ya wazungu?......Na umri huu babu ataweza mabo ya kizungu?...Hebu acha uvivu, njoo na gunia, inamisha kiuno chako upige deki..........!
Mpenzi kama amejua hilo headache anajipatia za nini???
Mwambie shosti ampashe jamaa A kua hamna lake!