Pole sana. Sio kila mtu anaweza kufika point fulani kwa njia moja, unaweza kuzunguka na ukakawia ila ukafika.
soma nursing. Sina hakika vyuo vipi utapata ila kwa kuanzia nenda hospitali ya wilaya ama ya mkoa ulipo, omba kumuona afisa uajiri na utapata maelekezo mazuri tu.
kila la kheri