Anna pita
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 227
- 426
Nilifel form four nimejitahidi kurudia mtihan kama private candidate mara2 nimeshindwa nilikua naomba mawazo yenu.....
Nawaza niende nurse one year course private nikimaliza nijiunge na mafunzo ya TFDA ili angalau niweze kujiajir hata nikiweza nifungue duka la madawa naomben mawazo yenu pia kwa anaejua hivi vyuo vilipo anisaidie kunijulisha.
Nawaza niende nurse one year course private nikimaliza nijiunge na mafunzo ya TFDA ili angalau niweze kujiajir hata nikiweza nifungue duka la madawa naomben mawazo yenu pia kwa anaejua hivi vyuo vilipo anisaidie kunijulisha.