Wependwa watu wa mungu habarini za asbh ,ni yangu matumain kuwa mungu kawaamusha salam cku hii,
Kuna hali imenitokea ndg zangu takrbani mwezi 1 na zaid, nimekuwa nikiwashwa mwili sana hasa kuanzia kiuno kushuka chini hasa kwenye mapaja mpk miguuni nitumie dawa gani kutibu tatizo hili? naomben mawazo yenu ya kidaktari.