Mtandaoni
Senior Member
- Jul 22, 2013
- 132
- 64
Wependwa watu wa mungu habarini za asbh ,ni yangu matumain kuwa mungu kawaamusha salam cku hii,
Kuna hali imenitokea ndg zangu takrbani mwezi 1 na zaid, nimekuwa nikiwashwa mwili sana hasa kuanzia kiuno kushuka chini hasa kwenye mapaja mpk miguuni nitumie dawa gani kutibu tatizo hili? naomben mawazo yenu ya kidaktari.
Kuna hali imenitokea ndg zangu takrbani mwezi 1 na zaid, nimekuwa nikiwashwa mwili sana hasa kuanzia kiuno kushuka chini hasa kwenye mapaja mpk miguuni nitumie dawa gani kutibu tatizo hili? naomben mawazo yenu ya kidaktari.