GEMO
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 250
- 277
Ishu yako inategemea mambo mawili makubwa
1.Mazingira uliyopo
2.Mtaji
Mf ukinunua boda boda 2 ukawapa vijana kwa siku utapata 14,000/= boda 2 kuzinunua ni 4.8m -TVS
Ukifungua saloon 2 za kiume kwa 1.5m kwa siku utapewa 20,000/= kila saloon elfu 10.
Ukiwa na vijana watatu wa kuuza mayai...ukanunua baiskeli 2 kwa 120,000 kila moja na kuwa na mtaji wa 350,000/= sawa na trei 50 kwa siku kila trei ukapaga kiwango cha kawaida cha sh 1000 utapata elfu 50 vijana watatu posho plus msosi ni 15,000/= unabaki na 15,000/=
Ukinunua bajaj kwa 7.5m kwa siku utapata 15,000 unayoitaka
Ukinunua nisan au Costa kwa siku utapata around 40k to 50k
Swali hapo la muhimu Je una mtaji wa sh ngapi ?
Upo tayari kiasi gani kupambana
1.Mazingira uliyopo
2.Mtaji
Mf ukinunua boda boda 2 ukawapa vijana kwa siku utapata 14,000/= boda 2 kuzinunua ni 4.8m -TVS
Ukifungua saloon 2 za kiume kwa 1.5m kwa siku utapewa 20,000/= kila saloon elfu 10.
Ukiwa na vijana watatu wa kuuza mayai...ukanunua baiskeli 2 kwa 120,000 kila moja na kuwa na mtaji wa 350,000/= sawa na trei 50 kwa siku kila trei ukapaga kiwango cha kawaida cha sh 1000 utapata elfu 50 vijana watatu posho plus msosi ni 15,000/= unabaki na 15,000/=
Ukinunua bajaj kwa 7.5m kwa siku utapata 15,000 unayoitaka
Ukinunua nisan au Costa kwa siku utapata around 40k to 50k
Swali hapo la muhimu Je una mtaji wa sh ngapi ?
Upo tayari kiasi gani kupambana