We ulitaka iwe baada ya miaka mingapi ? wastani ni miaka 2 hadi mitatu kwa biashara yeyote ile ya gari , iwe bus , iwe lorry za mizigo iwe dalala wastani ni huo huo
NB. baada ya hiyo miaka miwil, hiyo gari waweza kaa nayo hadi ukafika mahali ukasema basi inatosha hata miaka 20 mbele, sasa piga hesabu itakua imekuingizia gari ngapi ? na zenyewe zimeingiza ngapi ?
manake kama miaka 2 imerudisha pesa yake..hiyo pesa unaongeza gari , zinakua mbili.. hutotumia miaka miwil tena kuingira gari , unatumia mwaka mmoja , zikiwa tatu sio mwaka ni miez nane mpaka 10 unaongeza chombo , zikiwa nne miez 6 chombo , tano , miez 4 chombo.. within 10 years...uko mbali mno , pengine unafikiria kuachana na biashara ya dalala uagize bus kadhaa... ndivyo biashara inavyokua
Sent using
Jamii Forums mobile app