I believe on Miracles
Member
- Apr 12, 2023
- 10
- 14
Mungu akubariki sana, Usifikwe na hali ya Ukata.How about those miracles you believe in?
God be with you on ur journey.Mungu akubariki sana, Usifikwe na hali ya Ukata.
mimi mkuu maskini wa kutupwa kwa hivyo sitakutana na kipya. nishashinda na njaa siku nzima na kula machungwa manne usiku ya kupewa. nilikuwa naskia sikio moja tuMungu akubariki sana, Usifikwe na hali ya Ukata.
Nimesoma ID yako, nikaishia kusikitika tu..!!Habari za Asubuhi watu wa MUNGU
Naomba kwa aliye kwenye Mchongo wa kazi ambao ni rahisi kuingiza Kibarua mwengine, Tafadhali naomba anivute huko.
Niko kwenye kipindi kigumu ever.
NB: KAZI yoyote halali Niko tayari kuifanya.
Makazi yangu ni DSM
This does not answer Sir Midabwada 's question..!!Mungu akubariki sana, Usifikwe na hali ya Ukata.
Amna kaka mm mnizoee tu. napenda jokes sana. lakin jamaa inatakiwa awe serious na jf mana humu watu wa kumsaidia wapo. So majib yangu mm yachukulieni kama midabwada tu.. ndo mana comment serious huwa sizitanii hata kidogo. lakin nimeriplai kuita watu muje.This does not answer Sir Midabwada 's question..!!
Kama unaweza kupiga jembe kuna kazi ya muda mfupi, kulimia matuta sehemu..Habari za Asubuhi watu wa MUNGU
Naomba kwa aliye kwenye Mchongo wa kazi ambao ni rahisi kuingiza Kibarua mwengine, Tafadhali naomba anivute huko.
Niko kwenye kipindi kigumu ever.
NB: KAZI yoyote halali Niko tayari kuifanya.
Makazi yangu ni DSM