Naombeni mniambie umri wa Marioo

Naombeni mniambie umri wa Marioo

Majibu yaliyotolewa hapa hayaoneshi kukua kwa afya ya akili ya watoa majibu.

Haya sio majibu mazuri kwa afya ya JF pia.

Huwezi kujua muuliza swali yuko wapi na ameona pa kupatia jibu ni hapa.

Members mnapaswa kuweka hekima kabla hujatumia vidole vyako kumjibu mwenzako mwenye kiu ya jibu.


Kuna mmoja aliyesema muuliza swali afuatilie mahojiano kati ya Ayotv na Marioo. Nampongeza.
 
Back
Top Bottom