Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeambiwa na nani?
Huyo aliekuambia nenda kamuulize maswali yote hayo.
Naomba kuwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatumia togwa gani? karibu humu.Hodi hodi waungwana..
NATAKA KUIFANYA JAMII FORUM IWE KAMA TORONTOO
Niambieni ni mambo gani naruhusiwa kufanya na nisiyoruhusiwa kufanya
Jamii forums ?
Ni watu gani maarufu humu jamii forum jamani?
Swali zuri ila naona hana mpango wa kulijibu
Kama Torontooo tuuuHodi hodi waungwana..
NATAKA KUIFANYA JAMII FORUM IWE KAMA TORONTOO
Niambieni ni mambo gani naruhusiwa kufanya na nisiyoruhusiwa kufanya
Jamii forums ?
Ni watu gani maarufu humu jamii forum jamani?
hahaha.. na hawezi kulijibuSwali zuri ila naona hana mpango wa kulijibu
Nakazia kuhusu kuwasilisha.Umeambiwa na nani?
Huyo aliekuambia nenda kamuulize maswali yote hayo.
Naomba kuwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaaahKaribu humu uzi tu hayo mengine umedanganywa
Na kama ukileta uzi usilete migumu migumu kama sijui korosho hazijabanguliwa au sijui spika na prof Assad wanavutana au sijui o tunaelekea uchumi wa viwanda hayo wachie wabunge watayajadili
Humu lete nyuzi laini laini hasa zinazousiana na kugegeda
Ni hayo tu karibu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani ile ID yako uliyofungua 2012 imepata tatizo gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya facebook situmii tena ndio mana nimekuja kujiunga humu jamii forum
😂😂 hapo tu ndipo ninapoipenda jf
😂😂 hapo tu ndipo ninapoipenda jf
Ya facebook situmii tena ndio mana nimekuja kujiunga humu jamii forum