Naombeni mnikaribishe kwa shangwe pia mnitambulishe wapenzi wenu humu

same old stories hakuna jipya....

angalia tu katika kuni quote usijisahau ukatumia ID yako kongwe

Mapya yapo mengi sana toka hapo ulipo utakutana na mapya mengi sana.
Mbona kama kinakuuma mimi kuja hapa jamii forum wacha roho mbaya we mtu,mitandao kama hii kila dakika watu wapya wanajiunga tena jamii forum wapo wengi wanaoitumia bila kuwa member mmoja wapo ni mimi hapa.
Lakini kwa sasa nimepata ushawishi wa kujiunga
 
wewe mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…