same old stories hakuna jipya....
angalia tu katika kuni quote usijisahau ukatumia ID yako kongwe
wewe mzeeKaribu humu uzi tu hayo mengine umedanganywa
Hahaha Na kama ukileta uzi usilete migumu migumu kama sijui korosho hazijabanguliwa au sijui spika na prof Assad wanavutana au sijui o tunaelekea uchumi wa viwanda hayo wachie wabunge watayajadili
Humu lete nyuzi laini laini hasa zinazousiana na kugegeda
Ni hayo tu karibu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Naskia ati wajanja walimu hackia πππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] asa anajifanyaje mgeni akati ni mkongwe kabisa humu ndanNaskia ati wajanja walimu hackia [emoji3][emoji3][emoji3]