Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KaribuNaombeni mnipokee jamani kwenye hili jukwaa pendwa
Karibu, umeonana na katibu Wa jfNaombeni mnipokee jamani kwenye hili jukwaa pendwa
annyeonghaseyoNaombeni mnipokee jamani kwenye hili jukwaa pendwa
Nkajua mkorea weweSamahani mkuu sijaelewa
Namaanisha helloSamahani mkuu sijaelewa
Asante mkuu nime kuelewa-Karibu zingatia yafuatayo-
*Lugha ya matusi haitakiwi, itapelekea upigwe ban.
*Namecalling hairuhusiwi, itapelekea upigwe ban.
*Maswala ya PM hayatakiwi kuletwa jukwaani, itapelekea upigwe ban.
*Kuandika ki-FB siyo kosa ila members wengi wanakerwa na huo mtindo. Mfano 'Usiku' kuandika 'Uck' au 'Vizuri' ukaandika 'Vzr'
*Tuma picha yakona namba ya simu ili kukamilisha usajili.
Karibu sana mgeniNaombeni mnipokee jamani kwenye hili jukwaa pendwa