Naombeni mnipokee Mimi mgeni

Naombeni mnipokee Mimi mgeni

Taja I'd yako ya zaman ....then karibu
 
-Karibu zingatia yafuatayo-

*Lugha ya matusi haitakiwi, itapelekea upigwe ban.

*Namecalling hairuhusiwi, itapelekea upigwe ban.

*Maswala ya PM hayatakiwi kuletwa jukwaani, itapelekea upigwe ban.

*Kuandika ki-FB siyo kosa ila members wengi wanakerwa na huo mtindo. Mfano 'Usiku' kuandika 'Uck' au 'Vizuri' ukaandika 'Vzr'

*Tuma picha yako na namba ya simu ili kukamilisha usajili.
 
Pata kupitia sheria za hapa, karibu
 
-Karibu zingatia yafuatayo-

*Lugha ya matusi haitakiwi, itapelekea upigwe ban.

*Namecalling hairuhusiwi, itapelekea upigwe ban.

*Maswala ya PM hayatakiwi kuletwa jukwaani, itapelekea upigwe ban.

*Kuandika ki-FB siyo kosa ila members wengi wanakerwa na huo mtindo. Mfano 'Usiku' kuandika 'Uck' au 'Vizuri' ukaandika 'Vzr'

*Tuma picha yakona namba ya simu ili kukamilisha usajili.
Asante mkuu nime kuelewa
 
Back
Top Bottom