Naombeni mnipokee wana JF.

thanx a lot!.

we hufai J.F mbona umekuja na swaga zako za F.B! Kwani ungeandika 'thanks' instead of 'thanx' vidole vingejifungua? by the way karibu ila acha mitabia yako ya F.B. WELCOME THE HOME OF GREAT THINKERS!
 
karibu sana ila ,umeshachukua kadi ya chama cha wazalendo ACT?
 
Haya umetupia zaidi ya mara tatu, omba ruhusa uifahamu kazi ya funza Dume
 
Last edited by a moderator:
we hufai J.F mbona umekuja na swaga zako za F.B! Kwani ungeandika 'thanks' instead of 'thanx' vidole vingejifungua? by the way karibu ila acha mitabia yako ya F.B. WELCOME THE HOME OF GREAT THINKERS!

mkuu kabla sijajiunga rasmi jf, nilikua napitia comments zako kule jukwaa la elimu...yan nilikua naenjoy sana hasa kuhusu suala la ajira za walimu...by the way nashukur kwa kunikaribisha..pamoja sana mkuu!.
 
Goma son karibu,ila uwe unatoa hoja zisizo rojorojo kama mchuzi wa utumbo,udaku humu hautakiwi,vinginevyo wanajamvi watakufungulia mlango uende facebook na ukajiachie na unconstructive ideas huko.
:target:

nashukuru sana!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…