Izo marks vijana watatoboa kweli?
Usisahau formula inaanza na =Simple andika namba ya cell boks zilizipo kisha - boks zilizotoka
Itatoa jibu safi kbs
=A3-B3 ,kamatia hiyo cell kwa chini scroll kwenda chini utapata majibu yote.Simple andika namba ya cell boks zilizipo kisha - boks zilizotoka
Itatoa jibu safi kbs
Rekebisha picha boks zilizobaki ziko mara mbilimbiliNaomba usome maelezo niliyoyaweka kwenye post ya kwanza
Sio kutoa tu kawaida, nahitaji formula izingatie kila box lina unit 3.
Soma vizuri post ya kwanza
Wewe nae msumbufu sasa si uweke bracket uzidishe mara tatuNaomba usome maelezo niliyoyaweka kwenye post ya kwanza
Sio kutoa tu kawaida, nahitaji formula izingatie kila box lina unit 3.
Soma vizuri post ya kwanza
Ongeza condition za kutosha anngoma imekataa