Naombeni mnisaidie kuhusu kilimo cha maboga na soko lake shamba lipo songea je kuna faa kwa maboga?

Msimu hakikisha unakutana na mwezi mtukufu wa Ramadhan wakati wa kuvuna
 
Natamani kulima maboga ila sijui kanuni kuanzia mbegu,udongo,msimu mzuri wa kulima na soko
Mkuu. Nakusaidia tu. Tafuta maboga ya mbegu. Achana na ta chakula ila kama unamifugo. Huu mchongo wanapiga watu wa njombe. Debe la mbegu hufika hadi elf 30. Wengi huchanganya kwenye mahindi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…