Gerald Chaz
Member
- Jan 1, 2023
- 5
- 2
Natamani kulima maboga ila sijui kanuni kuanzia mbegu,udongo,msimu mzuri wa kulima na soko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu. Nakusaidia tu. Tafuta maboga ya mbegu. Achana na ta chakula ila kama unamifugo. Huu mchongo wanapiga watu wa njombe. Debe la mbegu hufika hadi elf 30. Wengi huchanganya kwenye mahindi.Natamani kulima maboga ila sijui kanuni kuanzia mbegu,udongo,msimu mzuri wa kulima na soko