Naombeni mnisaidie wadau

Naombeni mnisaidie wadau

allina

Member
Joined
Mar 7, 2014
Posts
76
Reaction score
13
poleni na michakato yote wakuu..ninasehemu nimepata nataka niwe natengeneza juice..naomben mwenyekujua mashine yakukamulia juice ya muwa naweza pata kwa gharama ipi?pia kuna ile mashine yakutunzia juice huku inakorogwa inauzwa bei gani?lakini pia nawaza niwe napaki..
Naombeni mwongozo wenu.
 
Back
Top Bottom