NAOMBENI MSAAADA WA TIBA

NAOMBENI MSAAADA WA TIBA

sanga misuka

Member
Joined
Aug 24, 2017
Posts
49
Reaction score
61
Naombeni msaada wenu tafadhali nina tatzo la kuziba PUA mara kwa mara kutokana na kuwa na mafua mepesi hii hutokea wakati wa BARIDI na nikinywa MAJI YA BARIDI SANA , ni kwa muda mrefu na PIA nina tatzo la KUJAA MATE MDOMONI WAKATI WOTE.,.. ...naomben msaada wa TIBA ASILI/LISHE/mitishamba. ..... na au /(antibiotics)
@==============@
 
Back
Top Bottom