Naombeni msaada hapa kwa watu ambao wamewahi kukopa Bayport

Ni sahihi,na hiyo hata mabank wanafanya hivyo hivyo,wakikupa balance usitegemee kuwa watakupa punguzo! Kikubwa apambane aipate hiyo 3M,akamalizane nao
 
Daaah umeyakanyaga mkuu pole Sana hao jamaa ni wezi
Sio wezi mkuu,ila riba zao ni kubwa kuliko bank,maana Bayport ni kama microfinance tu,wanakopa kwenye mabank,nao wanakuja kuwakopesha wateja,kwa hiyo riba lazima iwe kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…