Ndama Jeuri
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 1,520
- 1,504
Kwa hiko kiasi sio mbaya sana,shida kama utaenda kuwakopa Bayport zaidi ya 5M,hapo utaipata fresh,maana riba yao ni kubwa mno kuliko bank.Unaenda kukopa Bayport hujipendi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiko kiasi sio mbaya sana,shida kama utaenda kuwakopa Bayport zaidi ya 5M,hapo utaipata fresh,maana riba yao ni kubwa mno kuliko bank.Unaenda kukopa Bayport hujipendi
Ni sahihi,na hiyo hata mabank wanafanya hivyo hivyo,wakikupa balance usitegemee kuwa watakupa punguzo! Kikubwa apambane aipate hiyo 3M,akamalizane naoMkuu mkataba wenu ni miaka mingapi na unatakiwa mkataba ukiisha uwe umelipa shi ngapi? Ukilijua hilo nadhani utaona jinsi gani wako sahihi. Mfano mkataba ni miaka mi tatu na uwe umelipa 3m so kama mpaka sasa umelipa let say 2m na unataka sitisha mkataba then wape hiyo iliyobaki then pita vile.
🤣🤣🤣🤣Hakuna cha fomu bayport siku izi unatuma CHECK NUMBER YAKO WANAMALIZA JUU KWA JUU NDANI YA SIKU 3 TU MZIGO UNA WITHDRAW ATM
Sio wezi mkuu,ila riba zao ni kubwa kuliko bank,maana Bayport ni kama microfinance tu,wanakopa kwenye mabank,nao wanakuja kuwakopesha wateja,kwa hiyo riba lazima iwe kubwaDaaah umeyakanyaga mkuu pole Sana hao jamaa ni wezi