Naombeni msaada, hii ni mara yangu ya kwanza kufanya usaili wa oral Utumishi

Naombeni msaada, hii ni mara yangu ya kwanza kufanya usaili wa oral Utumishi

Habari wadau,

Mimi ni graduate wa food science mwaka jana sijawahi fanya interview kabisa kwenye maisha yangu.

Nimebahatika kupita written kwenda oral nafasi ya nutritional officer naombeni muongozo wenu, na maswali nayoweza ulizwa.
Confidence! Jiamini kabisa na uoneshe kwa ishara ,usijibu maswali kama roboti hata ukiwa umekaa hakikisha mikono macho na vitu vingine vina move kwa kuonesha vitendo na ishara hasa mikono ukiwa unajieleza! Ukiganda sana utajikuta una tetemeka!

Zingatia muda! Wanamchezo wa kukwambia wana maswali kadhaa na muda wako ni dakika kadhaa! Kwa hiyo hakikisha kuwa unafanya time management kwa kujibu maswali kwa uhakika na sharp kidogo mfano swali la tell us about your self lisikuchukulie zaidi ya dakika mbili na ikiwezekana kalipange kabisa kwenye daftari in short na uliweze kulieleza ndani ya dakika mbili au tatu maana wale hawajali kama utatumia muda wote kujieleza tuu halafu watamwambia umabakiwa na maswali manne na dakika unazo kumi tuu…kwa hiyo unatakiwa time manager mkubwa hawaongezi muda ukiisha!

Answers with Examples…. Hakikisha ikiwezekana unapojibu maswali yao unaweka na mifano kabisa na unapojibu waangalie usoni bila kujali unakwenda chaka au lah elezea kwa undani usikubali kujibu juu juu kabisa usikubali!

Usithubutu kusema sijui! Hakikisha kila swali unajibu usikubali mbele ya pannel kunyanyua mikono juu kwa kusema sijui..hakikisha unapata cha kuongea usikubali kunyanyua mikono…. Hata wakiguna au kucheka wewe endelea kuchapa na kujibu maswali….

Hakikisha unajibu maswali yote na hata itategemea na jinsi unavyofanya management ya muda toka mwanzo na kutokubali kutojibu swali kisa hulijui…usikubali kuondoka hujajibu swali maana kuacha swali ni kujitoa kwenye mchezo…

Ukitoka kwenye chumba cha kukandwa usikubali kumwambia mwenzio maswali uliyoulizwa na majibu ukitoka kimbia kama mwehu vile…interview ni mchezo wa namba ..mwenye namba nyingi ndio mshindi na mkifungana unawekwa kwenye data base mwezio anapangiwa kituo haraka…ukimpa maswali maana yake yeye atajipanga na anaweza kukupiku kabisa!
 
Confidence:usiweke mikono mfukoni and stand straight look directly on their faces to gain confidence

Introduce yourself:tell them about your past present and future eg: my name Is x I graduated primary school at secondary school at university at and year of completion then currently I'm working as food technicians at bakhresa group as quality control but I have worked as a nutritionist at AZAM sports I would like to increase my education to be more competent and relevant to gradual change and work hard to reach my dreams

Answer their questions shortly and clearly.

Dress smart vaa miwani vaa saa appearence take 80% of self confidence and communication skills.

Do you have any questions to us: ulizia baada ya interview majibu yanatarajia kutoka baada ya mda gani alamsik.
 
Confidence! Jiamini kabisa na uoneshe kwa ishara ,usijibu maswali kama roboti hata ukiwa umekaa hakikisha mikono macho na vitu vingine vina move kwa kuonesha vitendo na ishara hasa mikono ukiwa unajieleza! Ukiganda sana utajikuta una tetemeka!

Zingatia muda! Wanamchezo wa kukwambia wana maswali kadhaa na muda wako ni dakika kadhaa! Kwa hiyo hakikisha kuwa unafanya time management kwa kujibu maswali kwa uhakika na sharp kidogo mfano swali la tell us about your self lisikuchukulie zaidi ya dakika mbili na ikiwezekana kalipange kabisa kwenye daftari in short na uliweze kulieleza ndani ya dakika mbili au tatu maana wale hawajali kama utatumia muda wote kujieleza tuu halafu watamwambia umabakiwa na maswali manne na dakika unazo kumi tuu…kwa hiyo unatakiwa time manager mkubwa hawaongezi muda ukiisha!

Answers with Examples…. Hakikisha ikiwezekana unapojibu maswali yao unaweka na mifano kabisa na unapojibu waangalie usoni bila kujali unakwenda chaka au lah elezea kwa undani usikubali kujibu juu juu kabisa usikubali!

Usithubutu kusema sijui! Hakikisha kila swali unajibu usikubali mbele ya pannel kunyanyua mikono juu kwa kusema sijui..hakikisha unapata cha kuongea usikubali kunyanyua mikono…. Hata wakiguna au kucheka wewe endelea kuchapa na kujibu maswali….

Hakikisha unajibu maswali yote na hata itategemea na jinsi unavyofanya management ya muda toka mwanzo na kutokubali kutojibu swali kisa hulijui…usikubali kuondoka hujajibu swali maana kuacha swali ni kujitoa kwenye mchezo…
mkuu asante sana, ubarikiwe
 
Confidence! Jiamini kabisa na uoneshe kwa ishara ,usijibu maswali kama roboti hata ukiwa umekaa hakikisha mikono macho na vitu vingine vina move kwa kuonesha vitendo na ishara hasa mikono ukiwa unajieleza! Ukiganda sana utajikuta una tetemeka!

Zingatia muda! Wanamchezo wa kukwambia wana maswali kadhaa na muda wako ni dakika kadhaa! Kwa hiyo hakikisha kuwa unafanya time management kwa kujibu maswali kwa uhakika na sharp kidogo mfano swali la tell us about your self lisikuchukulie zaidi ya dakika mbili na ikiwezekana kalipange kabisa kwenye daftari in short na uliweze kulieleza ndani ya dakika mbili au tatu maana wale hawajali kama utatumia muda wote kujieleza tuu halafu watamwambia umabakiwa na maswali manne na dakika unazo kumi tuu…kwa hiyo unatakiwa time manager mkubwa hawaongezi muda ukiisha!

Answers with Examples…. Hakikisha ikiwezekana unapojibu maswali yao unaweka na mifano kabisa na unapojibu waangalie usoni bila kujali unakwenda chaka au lah elezea kwa undani usikubali kujibu juu juu kabisa usikubali!

Usithubutu kusema sijui! Hakikisha kila swali unajibu usikubali mbele ya pannel kunyanyua mikono juu kwa kusema sijui..hakikisha unapata cha kuongea usikubali kunyanyua mikono…. Hata wakiguna au kucheka wewe endelea kuchapa na kujibu maswali….

Hakikisha unajibu maswali yote na hata itategemea na jinsi unavyofanya management ya muda toka mwanzo na kutokubali kutojibu swali kisa hulijui…usikubali kuondoka hujajibu swali maana kuacha swali ni kujitoa kwenye mchezo…
Brother inaonyesha unauzoefu sana na interview, respect sana.
 
Confidence:usiweke mikono mfukoni and stand straight look directly on their faces to gain confidence

Introduce yourself:tell them about your past present and future eg: my name Is x I graduated primary school at secondary school at university at and year of completion then currently I'm working as food technicians at bakhresa group as quality control but I have worked as a nutritionist at AZAM sports I would like to increase my education to be more competent and relevant to gradual change and work hard to reach my dreams

Answer their questions shortly and clearly.

Dress smart vaa miwani vaa saa appearence take 80% of self confidence and communication skills.

Do you have any questions to us: ulizia baada ya interview majibu yanatarajia kutoka baada ya mda gani alamsik.
umetisha mkuu
 
Nauliza wadau Oral interview ya Afisa Lishe Mkoa wa Dodoma inafanyika wapi maana nikiangalia Ajira Portal sioni kitu
 
Nauliza wadau Oral interview ya Afisa Lishe Mkoa wa Dodoma inafanyika wapi maana nikiangalia Ajira Portal sioni kitu
Soma hapa
 

Attachments

  • IMG_2904.jpeg
    IMG_2904.jpeg
    588.4 KB · Views: 17
Confidence:usiweke mikono mfukoni and stand straight look directly on their faces to gain confidence

Introduce yourself:tell them about your past present and future eg: my name Is x I graduated primary school at secondary school at university at and year of completion then currently I'm working as food technicians at bakhresa group as quality control but I have worked as a nutritionist at AZAM sports I would like to increase my education to be more competent and relevant to gradual change and work hard to reach my dreams

Answer their questions shortly and clearly.

Dress smart vaa miwani vaa saa appearence take 80% of self confidence and communication skills.

Do you have any questions to us: ulizia baada ya interview majibu yanatarajia kutoka baada ya mda gani alamsik.
Nkianza na elimu yangu ya chuo,experiences na skills mbalmbal bla kutaja jna langu shule za sekondari katka swali la introduce yourself ntakua nmekosea?
 
Back
Top Bottom