Naombeni Msaada jamani..

Supervisor

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2010
Posts
559
Reaction score
208
Habari wana jf. Kwanza naomba niwatakie Heri ya X-Mass wote. Shida yangu ni moja tu. Nimeoa hivi karibuni na Mke wangu kwa bahati nzuri hv karibuni amefanikiwa kuwa pregnant. Sasa tatizo analokumbana nalo ni kichefuchefu cha kupindukia, ni kwel ni hali ya kawaida kama alivyoambiwa hospital lakni inakuwa ni too much. Sasa kila anachokula anatapika tu hata vile anavyokuwa na hamu navyo. Je? Jamani hakuna hakuna njia yeyote ya ku solve tatizo hili? Hapa alipo analala njaa baada ya kutapika sana. Pls help....
 
mkuu ungeenda JF DOKTA
Ingekuwa Poa!
 
Umekosea njia. Ila kwa kusaidia, tangawizi inapunguza kichefuchefu sana cha ujauzito, lakini kabla hajatumia aombe ushauri wa dr wake.
 
kwa wote wale wenye mimba ya mwanzo huwa inawasumbua sana vumilia alafu muone daktari wa akina mama ndie muhusika.
 
go hospital.

pia waulize watuwazima(wakina mama watakusaidia msijifungie ndani ata kama mambo safi)
 
Ooh Lord. Pole sana. Hongera kwa kuwa mume anaejali manake wengine wanaonaga ni kudeka. Ngoja wajr.wenye uzoefu na tatizo hilo. Lakini hakikishaanakunywa.walau maji mengi na vimiminika kama chai na fresh juice (aepuke soda).
 
Its normal, hasa kwa miezi yaa mwanzoni! Wenyewe wanasema kunakuwa kuna Hormone imbalance, hapo ni mpaka 4-5 months ndo itatulia! ikizidi sana aende hospital
 
Mwambie awe kama anakunywa chai aweke limao halafu aepuke kula mlo mkubwa kwa mkupuo, awe anakula kiasi kidogo kwa kuachia kwa muda fulani. Pia apendelee kula snack zisizo na mafuta mengi hapohapo azingatie mlo kamili "EATING FOR TWO" Huu mtiti nimeumaliza hivi karibuni japokuwa sikutapika ila kichefuchefu hadi unatamani kutokula. NB:zile dawa suppliment ya vitamin anazopewa mjamzito clinic huwa zinatia kichefuchefu sana asiache kuzinywa ni muhimu sana bali badala ya kunywa asubuhi anywe usiku wakati wa kwenda kulala
 

The Secretary-Received with Thx
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…