mnyalutanana
Member
- Nov 3, 2012
- 55
- 18
Mimi nilihitimu chuo kikuu mwaka 2011, nimesomea uhasibu, so far nimetafuta kaz bila mafanikio. Natafuta sehemu ya kuvolunteer.Please naombeni support yenu wana jf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pole sana mnyalutanana kazi tanzania ni tatizo kubwa sana...mimi ilinichukua miaka 2 tangu kumaliza chuo kupata kibarua.
nakumbuka ndani ya miezi 6 ya kwanza niliamua kulima mbogamboga walau nipate hela ya vocha na matumizi mengine nikajikuta nafanya hiyo kwa zaidi ya mwaka nikaweza kuishi
wewe hapo ulipo kama kuna nafasi jiajiri kwa kazi ambayo haihitaji mtaji mkubwa huku ukiwa unahaingaika
pole sana mnyalutanana kazi tanzania ni tatizo kubwa sana...mimi ilinichukua miaka 2 tangu kumaliza chuo kupata kibarua.
Nakumbuka ndani ya miezi 6 ya kwanza niliamua kulima mbogamboga walau nipate hela ya vocha na matumizi mengine nikajikuta nafanya hiyo kwa zaidi ya mwaka nikaweza kuishi
wewe hapo ulipo kama kuna nafasi jiajiri kwa kazi ambayo haihitaji mtaji mkubwa huku ukiwa unahaingaika