farajamlenga
Member
- Dec 8, 2017
- 46
- 45
Huyo doctor alikupa Dawa yoyote
Pouwa my asanteHapana sikupewa sawa yeyote baada ya kumsimulia ilivyokuwa aliniambia siwezi kupata maambukizi na hata nikija kupima nikakutwa na huo ugonjwa basi nitakuwa nilikuwa nao kabla kwasababu hao wadudu wakisha kuwa inje wanakufa ndani ya dakika chache
Kwamaana hiyo ungeweza kupata maambukizi kama huo wembe ungemkata yeye na muda huohuo ukakukata wewe
Kinatakiwa kikae mda ganInategemea icho kiwembe kimekaa mda gani toka alipojikata
Kinatakiwa kikae mda ganPole xana aunt uwezokano wa kupata ni mdogo xana vilevile itategemean huu wembe unamuda gan tangia atumia
Zlipta kama dk 4Nyembe haikupi ukimwi labda hajikate afu uchukue wewe kwa muda huo huo ujikate
Kirusi/virus hawezi kuwa hai muda huoZlipta kama dk 4
Virusi havifi nje ya host cell. Bali vina crystallize tuUkimwi hauambukizwi hivyo tunatumia mashine moja kunyoa kwenye saloon zetu wote tungekuwa waathirika ni kwasababu virusi kwenye hewa ya kawaida hawaishi zaidi ya sekunde 22 huwa wanakufa
AsanteUko safe mkuu...niamini mimi
Vinakua hai tena vikipata host (mfano damu) kwa hiyo ukijikata na wembe wa muathirika lazima uwe na wenge hapo vile vijidudu having totally Kama mende namshauri akapime kujiridhisha.Virusi havifi nje ya host cell. Bali vina crystallize tu