farajamlenga
Member
- Dec 8, 2017
- 46
- 45
Huyo doctor alikupa Dawa yoyote
Hapana sikupewa sawa yeyote baada ya kumsimulia ilivyokuwa aliniambia siwezi kupata maambukizi na hata nikija kupima nikakutwa na huo ugonjwa basi nitakuwa nilikuwa nao kabla kwasababu hao wadudu wakisha kuwa inje wanakufa ndani ya dakika chache
Kwamaana hiyo ungeweza kupata maambukizi kama huo wembe ungemkata yeye na muda huohuo ukakukata wewe