TEMBO WANGU
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 930
- 1,290
wakuu naombeni mawazo yenu hapa,
Hivi, kuna watu wana shida ya pesa ndogo ndogo ambapo siku hiyo imempiga chenga kutafuta, au kukopa, au mtu unakuta siku hiyo hali ni mbaya ya kiuchumi, ameenda job amekosa pesa ya kula, au kuna mtu mwingine mchana hali ni mbaya hajui atakula nini?
Sasa nikaona solution nianzishe kitu nitakachokiita min loan shop, kwa maana nitakuwa natoa mkopo wa kuanzia shilingi 2000-50000, na riba itakuwa ni 10%, kwa maana mtu akikopa 2000, atalipa 3000, kwa muda wa siku moja au siku mbili, hapo itategemea na kiwango unachokopa, na dhamana yake itakuwa labda unaweka simu, au kitu chochote chenye thamani ya juu ya pesa.
Kama nitaweza kupata watu 20 kwa siku, watakao kopa 2000 na kurudisha 3000, so faida inaweza kuwa 20000, lakini pia risk haitokuwa kubwa sana, maana mtu hawezi kimbia na 2000.
Naombeni mwazo yenu wadau, na wenye kuongeza au kupunguza juu ya wazo hili,
Asanteni..
Hivi, kuna watu wana shida ya pesa ndogo ndogo ambapo siku hiyo imempiga chenga kutafuta, au kukopa, au mtu unakuta siku hiyo hali ni mbaya ya kiuchumi, ameenda job amekosa pesa ya kula, au kuna mtu mwingine mchana hali ni mbaya hajui atakula nini?
Sasa nikaona solution nianzishe kitu nitakachokiita min loan shop, kwa maana nitakuwa natoa mkopo wa kuanzia shilingi 2000-50000, na riba itakuwa ni 10%, kwa maana mtu akikopa 2000, atalipa 3000, kwa muda wa siku moja au siku mbili, hapo itategemea na kiwango unachokopa, na dhamana yake itakuwa labda unaweka simu, au kitu chochote chenye thamani ya juu ya pesa.
Kama nitaweza kupata watu 20 kwa siku, watakao kopa 2000 na kurudisha 3000, so faida inaweza kuwa 20000, lakini pia risk haitokuwa kubwa sana, maana mtu hawezi kimbia na 2000.
Naombeni mwazo yenu wadau, na wenye kuongeza au kupunguza juu ya wazo hili,
Asanteni..