Naombeni msaada kuhusu Open University

NI CHUO KIZURI. NACHUKUA POST GRADUATE DIPLOMA IN BUSINESS STUDIES. NAOMBA MWENYE MATERIAL YA KOZI HII TUSHIRIKIANE. 0713-039875 AU 0766-643934 .EMAIL:accmoshi@gmail.com
 

Hapo kwenye RED nakusudia kukurekebisha kuwa OUT ni University, tena ni ya serikali kama UDSM, SUA, nk. Hivyo, rekebisha maeneo uliyoandika "fresh from university" as if OUT sio university. Inatofautiana na university uzijuazo kwa mfumo wa usomaji, OUT wanatumia ODL (open and distance learning). Nakutakia kila la heri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…