Naombeni Msaada kunielewesha

mawazoyangu

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2011
Posts
324
Reaction score
65
Kuna jambo linanitatiza. je inakuwaje mwili wa binadamu akifa kwenye maji unaelea lakini kabla hajafa unazama?
Nini kinafanya anaelea baada ya kufa?
Je kinachofanya azame kinakuwa kimetoka anapokufa?
Please nielezeni kwa undani juu ya jambo hili
 
Mimi si mtaalamu lakini najaribu kutumia simple logic, mtu akifa ndani ya maji si kwamba dakika atakayo kufa tu ndio anapanda juu, isipokuwa itaulazimu mwili huo kukaa masaa kadhaa zaid ya 12 ndio utapanda juu.
Kwa mantiki hiyo ni kwamba ukifa mwili unaanza kuoza kwa seli kuanza kuharibika na kutengeneza kitu kama gasi kwa tumbo kujaa na mwili mzima, hii inafanya mwili kuwa na hewa ya gasi kwandani na kuufanya uwe kama boya, hivyo kuufanya uelee.
Subiri wataalamu waje kudadafua.
 
Thanks, nimepata mwanga mzuri
 
Mie nasubiri watu wa kukurupuka waanze kuchangia halafu nitakuja na jibu kamili. Haya karibuni
 

ina shawishi, lakini mimi bado sijakubali vizuri, labda niseme sio kwa binadamu tu ni kwa wanyama wote,
unazungumzia habari za tumbo kujaa hewa lakini hata kama tumbo liko wazi, say kuliwa na samaki wa kubwa ama ndenge, bado huwa mwili unaelea tu
 
ina shawishi, lakini mimi bado sijakubali vizuri, labda niseme sio kwa binadamu tu ni kwa wanyama wote,
unazungumzia habari za tumbo kujaa hewa lakini hata kama tumbo liko wazi, say kuliwa na samaki wa kubwa ama ndenge, bado huwa mwili unaelea tu

Mkuu tumboni ndiko sehemu yenye uwazi mkubwa wa kutanuka na kujaa sana hiyo gasi iwe kwa ngombe ndege nk.
kikubwa ni kuwa mwili mzima unaathirika na hiyo ila tumbo ni zaid sababu ya nafasi yake
 
When humans die, they start decomposing immediately and this produces gases as by-products (eg, CO2 and NH3). Since gases are more buoyant than liquids, carcasses (mizoga ya wanyama) and cadaver (maiti za watu) float. Floating occurs when the gas is still inside the carcass or cadaver and its overall density is less than that of the liquid it is in (remember Archimedes Principle???)
 
Thanks a lot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…