mawazoyangu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 324
- 65
Kuna jambo linanitatiza. je inakuwaje mwili wa binadamu akifa kwenye maji unaelea lakini kabla hajafa unazama?
Nini kinafanya anaelea baada ya kufa?
Je kinachofanya azame kinakuwa kimetoka anapokufa?
Please nielezeni kwa undani juu ya jambo hili
Nini kinafanya anaelea baada ya kufa?
Je kinachofanya azame kinakuwa kimetoka anapokufa?
Please nielezeni kwa undani juu ya jambo hili