Naombeni msaada kutengeneza akaunti ya ARIS naulizwa registration number

Naombeni msaada kutengeneza akaunti ya ARIS naulizwa registration number

icon_2000

Senior Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
177
Reaction score
256
Kwenye kutengeneza akaunti ya ARIS naulizwa registration number naweka ya mtihani inakataa
 
Ongeza nyama, weka screenshot ya unachopitia.

Dadavua tatizo usaidiwe, usipanick
 
Ongeza nyama, weka screenshot ya unachopitia.

Dadavua tatizo usaidiwe, usipanick
Apo kwenye student RegNo unaeeka zipi
Screenshot_20241020-180721.jpg
 
Pole sana kijana na hongera kwa kuchaguliwa udsm.
Hapo unaingizs registration number ambayo upo kwa admission letter yako............SIO namba ya form 4 mfano 2024-04-12208 hiyo ndo registratioshukrani kaka ngoja niangalie
 
Pole sana kijana na hongera kwa kuchaguliwa udsm.
Hapo unaingizs registration number ambayo upo kwa admission letter yako............SIO namba ya form 4 mfano 2024-04-12208 hiyo ndo registration number
Shukran kaka ngoja niiangalie
 
Kwenye kutengeneza akaunti ya ARIS naulizwa registration number naweka ya mtihani inakataa
Huwezi weka ya kwenye mitihani maana hujafanya mtihani wowote wa chuo hapo unaweka namba iliyoko kwenye admission letter hlf unatengeneza password unaingia kufanya malipo na vingine vinavyohitajika
 
Aris unaweka registration number yako ambayo inaoatikana juu kabisa ya admission letter na kwenye password unaweka jina la babu yako. Sijajua kwa sasa
 
Sijajua utaratibu umekaaje ila haiwezekani uwe na namba ya Usajili wakati haujafanya Usajili chuoni. Nenda chuoni, fanya usajili baada ya hapo akaunti ya Aris itafunguliwa tu-baada ya kuingizwa kwenye mfumo. Kwasasa upo kwenye mfumo wa wale walioomba chuo, na akaunti yako inayosoma si hii ya Aris bali ile ya kwanza ya OAS UDSM.

NB: Endelea kusubiri majibu ya watu wengine.
 
Pole sana kijana na hongera kwa kuchaguliwa udsm.
Hapo unaingizs registration number ambayo upo kwa admission letter yako............SIO namba ya form 4 mfano 2024-04-12208 hiyo ndo registration number
Ani kaka natafta namba hiyo siioni kwenye admission letter yote siioni
 
Aris unaweka registration number yako ambayo inaoatikana juu kabisa ya admission letter na kwenye password unaweka jina la babu yako. Sijajua kwa sasa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Hapo kwenye jina la babu yako nimecheka sana.... Mimi nshazoeaga kutumia Sirname kweli Kizungu ni lugha ya kistaarabu
 
Apo kwenye student RegNo unaeeka zipiView attachment 3130859
First year mshaanza kuripoti vyuoni??

Sijui kwa Ud ikoje ila chuo nilichosoma ni mpaka ufanye usajili hapo chuo ndo unakua na reg no yako yenye mwaka wako wa masomo, course yako na mwaka wako ndo hiyo eg UDSM/ED/2024/25/....
Unatumia hiyo na password mnayopewa wote labda 1234 ndo hapo unakua umejiregister.

Kama bado hata chuo hujaenda punguza wenge, kama upo chuo na ushafanya registration waone viongozi wa hapo chuo au nenda admission usaidiwe kijana.

Vijana wa first year mwaka huu mna nongwa 😂😂, dogo langu nalo kila mda maswali kama mleta uzi.
 
Pole sana kijana na hongera kwa kuchaguliwa udsm.
Hapo unaingizs registration number ambayo upo kwa admission letter yako............SIO namba ya form 4 mfano 2024-04-12208 hiyo ndo registration number
Jamaa anatumia Reg No ya sekondari badala ya chuo
 
First year mshaanza kuripoti vyuoni??

Sijui kwa Ud ikoje ila chuo nilichosoma ni mpaka ufanye usajili hapo chuo ndo unakua na reg no yako yenye mwaka wako wa masomo, course yako na mwaka wako ndo hiyo eg UDSM/ED/2024/25/....
Unatumia hiyo na password mnayopewa wote labda 1234 ndo hapo unakua umejiregister.

Kama bado hata chuo hujaenda punguza wenge, kama upo chuo na ushafanya registration waone viongozi wa hapo chuo au nenda admission usaidiwe kijana.

Vijana wa first year mwaka huu mna nongwa 😂😂, dogo langu nalo kila mda maswali kama mleta uzi.
🙏🙏🤣🤣🤣
 
Kwenye kutengeneza akaunti ya ARIS naulizwa registration number naweka ya mtihani inakataa
mkuu usihangaike sana, ukifika chuo utasaidiwa na mtapewa maelekezo wakati wa orientation inayoanza jumamosi
 
Ehee!! Nilitka nijue angalaau hela kiwang cha chin naweza kwenda nacho ili nisihangaike kaka
kaka admission letter inaambatana na instruction form ya gharama zote, ila unapoanza chuo unatakiwa kulipa nusu ya ada kama unalipiwa na bodi, kiasi walichokupa unakigawa mara mbili then nusu kinachobaki unaongezea coz bodi wanakulipia nusu ya kwanza semister one inayobaki ni semister two
 
Back
Top Bottom