Golden Trust
Member
- Jan 21, 2023
- 33
- 44
🫡[emoji28][emoji1787] sawa kiongoziUshauri tu mkuu ukianza biashara yako ni kwamba mteja hatongozwi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]..aiyaa ntamueka mke wanguMteja haliwi kiongozi[emoji1787] usije kusema kwamba hatujakwambia. Utafanya kazi ya kuvalisha wateja kwa jina la "baby ake"
Nawasubiri..hawaji[emoji19]Ngoja waje kukupa muongozo...
Subira yavuta kheriNawasubiri..hawaji[emoji19]
Sawa sawa kiongoziKuwa makin mteja hatongozwi
Ushauri murua3. Nashauri uwe mtu wa kwenda na fashion sana kujua hawa viumbe wanataka nini. If possible shauriana na mwanamke au mke wako ambae anapenda sana fashion. Pia fanya research kwenye social media wale wanaouza izo nguo uone trend.
Pia usiuze jeans tupu, ongezea ata t-shirt au tops kadhaa, simple open shoes mikoba ata michache, maana mteja akija ndani anaweza akakosa jeans ila akanunua ata pochi ya afu 5 hawajuagi wanachotaka hawa.
Jitandaze mitandaoni, jaribu kua cheap kuliko wengine na usianze kwa kukodi mahala pa gharama kodi usije umia. Hao wakina Vunja Bei, Frank Knows, Sharobaro.. waliamza mdogo mdogo sana. Usije weka millions kwenye biashara hafu ukafail ukalia na kusaga meno.
Na mwisho mteja hatongozwi kama wanavosema wadau. Maana watakuja watajaribishia jeans mbele yako kama kibolo dinda utafirisika.
Kaka madmax asante sana kwa ushauri mzuri3. Nashauri uwe mtu wa kwenda na fashion sana kujua hawa viumbe wanataka nini. If possible shauriana na mwanamke au mke wako ambae anapenda sana fashion. Pia fanya research kwenye social media wale wanaouza izo nguo uone trend.
Pia usiuze jeans tupu, ongezea ata t-shirt au tops kadhaa, simple open shoes mikoba ata michache, maana mteja akija ndani anaweza akakosa jeans ila akanunua ata pochi ya afu 5 hawajuagi wanachotaka hawa.
Jitandaze mitandaoni, jaribu kua cheap kuliko wengine na usianze kwa kukodi mahala pa gharama kodi usije umia. Hao wakina Vunja Bei, Frank Knows, Sharobaro.. waliamza mdogo mdogo sana. Usije weka millions kwenye biashara hafu ukafail ukalia na kusaga meno.
Na mwisho mteja hatongozwi kama wanavosema wadau. Maana watakuja watajaribishia jeans mbele yako kama kibolo dinda utafirisika.
Asante sana kwa mchanganuoMaswali mengi lakini ngoja tusaidiane.
1. Midoli ipo ya full na ipo ya kuanzia kiunoni kushuka chini. Unaipata Kariakoo.
Ukienda kwa maduka ya jumla ina range kuanzia elfu 30 50 80 hadi 130 inatofautiana size, shape na material.
Mfano huyu anauza reja reja, na mtandaoni so unaweza guess jumla itakua ngapi.
View attachment 2597143 Mwingine:
View attachment 2597144
Hope utapata idea kwa jumla, let's say kuanzia 5 utauziwa kwa bei gani.
Asante sana kwa ushauri mzuriMtaji 10ml-20ml
Midoli yenye shepu elfu 60 kkoo.
Biashara hiyo inahitaji matangazo. Kama biashara zingine za nguo. Ni biashara nzuri sana.
Pata location inayofikika. Wala usiogope wala kujificha wateja wapo tu.
Jeans zipo kkoo. From chambuu mpaka custom made mfn. Fashionova. Yapo machimbo mengi tu ya jeans za kike.
MACHIMBO.
Congo na narung’ombe ndio mitaa ya jeans nyingi.
Bei za jumla
13,14,15
Plus to add up.
Kkoo watu wa jeans
Kuna princess jeans, recho pambakali. Hawa utapata jeans za kisasa zaidi maana wanaagiza.
Mtaji wako haswa ni midoli.
Uwe na midoli mingi. Udisplay nguo zako.