Golden Trust
Member
- Jan 21, 2023
- 33
- 44
Habari wanajamii forums...
Naombeni msaada kwa mtu anaejua biashara hii ya kuuza jeans za kike au ambae anafanya au alishafanya ,nahitaji kuuza jeans ambazo sio za mtumba, yaani kufungua duka la kuuza jeans tu..Sasa naombeni ushauri ndugu zangu kwa mambo yafuatayo.
1. Mtaji wa hii biashara inaweza cost shng ngapi.
2. kwa Dar machimbo ya kupata hizo jeans ni wapi na bei yake kwa jumla
3. Changamoto zake ni zipi.
4. Bei ya midoli ni shng ngapi.
Naombeni sana msaada ndugu zangu
Naombeni msaada kwa mtu anaejua biashara hii ya kuuza jeans za kike au ambae anafanya au alishafanya ,nahitaji kuuza jeans ambazo sio za mtumba, yaani kufungua duka la kuuza jeans tu..Sasa naombeni ushauri ndugu zangu kwa mambo yafuatayo.
1. Mtaji wa hii biashara inaweza cost shng ngapi.
2. kwa Dar machimbo ya kupata hizo jeans ni wapi na bei yake kwa jumla
3. Changamoto zake ni zipi.
4. Bei ya midoli ni shng ngapi.
Naombeni sana msaada ndugu zangu