Naombeni msaada mwanaume maziwa kuongezeka kuwa makubwa.

Ndio mkuu afanye hvyo

Sent from my PTM-Z-mini using JamiiForums mobile app
 
Kweli ni muhimu afanye mazoezi akipuuzia ataota na papuch
 
asante kwa ushauri mkuu .... hispitali gani hapa Tanzania naweza kupata hayo matibabu?
 
Naona BMI iko normal kabisa i mean 18.7 so ni bora ukawaona wataalam wa afya
 
asante kwa ushauri mkuu .... hispitali gani hapa Tanzania naweza kupata hayo matibabu?

Shirika la Kijerumani la Interplast ndilo huwa linafanya operations tofauti pale Bombo hospital. Japo ni mara moja kwa mwaka kama sijakosea. Sifahamu ratiba zao.

Dr. Wallace Karata ndiye mratibu wa hilo zoezi pale Tanga hospitali ila number yake sina.

Lakini naelewa hospitali za rufaa zina madaktari bingwa wa upasuaji.

Jaribu kwenda hospital ya mkoa, halafu wao watakupa rufaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…