Naombeni msaada na ushauri. Kila wakati nashtuka bila sababu

Naombeni msaada na ushauri. Kila wakati nashtuka bila sababu

Kuna mwamba hapo juu kasema acha kuishabikia Simba SC huenda ukapona tatizo lako la kushtuka shtuka
 
Habari za muda huu wakuu, hili imeanza muda lakn sasa hivi imeshika kasi, yani ipo hivi naweza kuwa nimelala au nimekaa au nafanya mishe yeyote lakini ghafla nikapata mshtuko hadi watu wa karibu wanauliza nashtuka nini.

Mimi mwenyewe nashangaa kwanini nimeshtuka na hakuna hali yoyote ya hatari na wala sioti ndoto mbaya. Msaada wajuzi tatizo linaweza kusabisha na nini?
Umepatwa na tukio gani lakustua karibuni?
 
Hawa ni wale watu wa kuduwaa a.k.a pause syndrome yaan mtu unakuta anakaa mda mrefu ameduwaa anakuwa na variety of thought ambazo hazina sequence nzuri thus y hata yeye mwenyewe ukijaribu kumuadress unakuta haelewi which is which.

Aina ya watu Kama Hawa ni rahisi sana kupata chronic subnormality na baadae mtu anaweza kuwa mwendawazimu.

Njia nyepesi ya kupunguza tatizo lako, cha Kwanza andaa ratiba yako ambayo itaanza na mazoezi yasiyopungua nusu saa(Kama hauna hypertension unaweza kupata kahawa ilibuchangamshe akili baada ya mazoezi) usijipe muda mwingi wa kupumzika akili yako ni ya kulala lala.

Cha pili inabidi uwe na ratiba ya kupambana, fanya kazi usichague kazi, jichanganye na watu(siyo makundi mabaya) sana sana vijana ambao ratiba zao zinabase kwenye kupambana, jaribu kuuliza Kama Kuna kazi unaweza kuifanya Kama part time upate Mia mbili mia tatu Mambo yaende.

Si vibaya kuwa na malengo lakini usiwe ambitious sana, life is all abt process, umesoma,umemaliza unasubiri ajira, siyo mpaka ufanye kazi yenye hadhi ndo ufanikiwe, kazi ni kazi ili mradi iwe halali na inayoingiza kipato and one-day yes itakuwa Kama ulivyopanga, uwe na plan ya kupata pesa kila siku nakuhakikishia ukifata haya utapata nafuu ya ugonjwa unaokusumbua.

Anza na haya.
 
Hawa ni wale watu wa kuduwaa a.k.a pause syndrome yaan mtu unakuta anakaa mda mrefu ameduwaa anakuwa na variety of thought ambazo hazina sequence nzuri thus y hata yeye mwenyewe ukijaribu kumuadress unakuta haelewi which is which.

Aina ya watu Kama Hawa ni rahisi sana kupata chronic subnormality na baadae mtu anaweza kuwa mwendawazimu.

Njia nyepesi ya kupunguza tatizo lako, cha Kwanza andaa ratiba yako ambayo itaanza na mazoezi yasiyopungua nusu saa(Kama hauna hypertension unaweza kupata kahawa ilibuchangamshe akili baada ya mazoezi) usijipe muda mwingi wa kupumzika akili yako ni ya kulala lala.

Cha pili inabidi uwe na ratiba ya kupambana, fanya kazi usichague kazi, jichanganye na watu(siyo makundi mabaya) sana sana vijana ambao ratiba zao zinabase kwenye kupambana, jaribu kuuliza Kama Kuna kazi unaweza kuifanya Kama part time upate Mia mbili mia tatu Mambo yaende.

Si vibaya kuwa na malengo lakini usiwe ambitious sana, life is all abt process, umesoma,umemaliza unasubiri ajira, siyo mpaka ufanye kazi yenye hadhi ndo ufanikiwe, kazi ni kazi ili mradi iwe halali na inayoingiza kipato and one-day yes itakuwa Kama ulivyopanga, uwe na plan ya kupata pesa kila siku nakuhakikishia ukifata haya utapata nafuu ya ugonjwa unaokusumbua.

Anza na haya.
Safi sana mkuu...
We ni mtaalam wa afya et..?
 
Njoo nikutibu mganga kutoka dodoma.
kuna dawa inabidi tukupaitie upone
gharama ni nafuu sana 2000 tu.
 
Habari za muda huu wakuu, hili imeanza muda lakn sasa hivi imeshika kasi, yani ipo hivi naweza kuwa nimelala au nimekaa au nafanya mishe yeyote lakini ghafla nikapata mshtuko hadi watu wa karibu wanauliza nashtuka nini.

Mimi mwenyewe nashangaa kwanini nimeshtuka na hakuna hali yoyote ya hatari na wala sioti ndoto mbaya. Msaada wajuzi tatizo linaweza kusabisha na nini?
Mkuu pole sana. I had the same problem miaka ya 2008 hivi. Muda mwingine umelala unashangaa umestuka tu. Involuntary action.

Nilienda fanya check up, wakasema ni mambo ya transmission ya maumeme huko kwenye ubongo 😂😂, yanaleta voltage kubwa.

Hali kama hiyo wengine hupelekea hata kupata kifafa.

Ni siku nyingi nilikuwa mdogo, sikufuatilia sana. Waliishia kunipa vidawa sijui vya usingizi vile, unameza usiku wakati wa kulala kwa mwezi.

Ngoja waje madaktari hasa neurolojia. Hawa waganga achana nao watakula fedha zako. 😃😃
 
Back
Top Bottom