Naombeni msaada ndugu zangu.

Naombeni msaada ndugu zangu.

Yaledi julius

Member
Joined
Apr 11, 2013
Posts
39
Reaction score
6
Poleni na ujenzi wa taifa ndungu zangu.mimi ni muhitimu form 4 mwaka jana, matokeo yangu nimepata division 4 ya point 30.Phys D,Bios D,Chemis D,Geog D, Kiswa D.kwa matoke haya naweza kupata chuo cha afya serikarini au chuo chocho tofauti na hicho ambacho mimi sikifahamu, nitashukuru sana ndungu zangu kwa ushauri wenu kazi njema.
 
Back
Top Bottom