K ksix mbetela Member Joined Apr 5, 2017 Posts 10 Reaction score 1 Apr 7, 2017 #1 Naombeni msaada, nikitabu gani cha sheria kizuri kukisoma na ntakipata wapi. Ahsante
mwekundu JF-Expert Member Joined Mar 4, 2013 Posts 21,859 Reaction score 19,736 Apr 7, 2017 #2 Acts unataka uzisome kama tamthiliya ya mfalme Juha au stori ya Zena na Betina?
B BISECKO JF-Expert Member Joined Nov 28, 2016 Posts 640 Reaction score 712 Apr 7, 2017 #3 ksix mbetela said: Naombeni msaada, nikitabu gani cha sheria kizuri kukisoma na ntakipata wapi. Ahsante Click to expand... Sheria ni pana sana, labda ni jambo gani wataka kulifahamu, ni jinai au madai? nitakusaidia...
ksix mbetela said: Naombeni msaada, nikitabu gani cha sheria kizuri kukisoma na ntakipata wapi. Ahsante Click to expand... Sheria ni pana sana, labda ni jambo gani wataka kulifahamu, ni jinai au madai? nitakusaidia...
K ksix mbetela Member Joined Apr 5, 2017 Posts 10 Reaction score 1 Apr 8, 2017 Thread starter #4 Nataka nizijue haki zangu 1.kama mwananchi 2.katika kazi yangu kwani mi mwajiliwa wa serikali ahsante
Nataka nizijue haki zangu 1.kama mwananchi 2.katika kazi yangu kwani mi mwajiliwa wa serikali ahsante
Jabman JF-Expert Member Joined Jul 27, 2016 Posts 1,005 Reaction score 1,337 Apr 8, 2017 #5 ksix mbetela said: Nataka nizijue haki zangu 1.kama mwananchi 2.katika kazi yangu kwani mi mwajiliwa wa serikali ahsante Click to expand... Soma standing orders kama in mwajiriwa. Kila kitu kimo humor ziko kwa kila ofisi hadi kwa Mwl Mkuu. Kuhusu haki zako, haki ziko nyingi na almost kila moja INA vitabu vyake. MF, land law , jinai, madai n.k
ksix mbetela said: Nataka nizijue haki zangu 1.kama mwananchi 2.katika kazi yangu kwani mi mwajiliwa wa serikali ahsante Click to expand... Soma standing orders kama in mwajiriwa. Kila kitu kimo humor ziko kwa kila ofisi hadi kwa Mwl Mkuu. Kuhusu haki zako, haki ziko nyingi na almost kila moja INA vitabu vyake. MF, land law , jinai, madai n.k
K ksix mbetela Member Joined Apr 5, 2017 Posts 10 Reaction score 1 Apr 8, 2017 Thread starter #6 Nianze na jinai, about standing order nimeshaisoma ahsante Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
Nianze na jinai, about standing order nimeshaisoma ahsante Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app