cetterhutter
Senior Member
- Sep 5, 2017
- 167
- 75
Kwanza pole na majukumu ya siku nzima!
Wadau katika kilimo nimeamua kujiwekeza katika kilimo cha papai nilinunua mbegu za pakiti na za kisasa miche niliiweka shambani tarehe 20/12/2019 sasa yamefikia hapa nimeweka mbolea mara 2 tu APK.
Sasa naomba wazoefu mnipatie ushauri na maelekezo kitu gani nifanye ili nifanikiwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau katika kilimo nimeamua kujiwekeza katika kilimo cha papai nilinunua mbegu za pakiti na za kisasa miche niliiweka shambani tarehe 20/12/2019 sasa yamefikia hapa nimeweka mbolea mara 2 tu APK.
Sasa naomba wazoefu mnipatie ushauri na maelekezo kitu gani nifanye ili nifanikiwe.
Sent using Jamii Forums mobile app