Naombeni msaada Sijui ni nini?.

king ugo

Member
Joined
Dec 19, 2013
Posts
5
Reaction score
0
Mm ni kijana wa miaka 20.ndug zang yani kunakitu kama nyam au pip kina nikaba shingoni afu kina vuta apa kwenye chembe
 
Mm ni kijana wa miaka 20.ndug zang yani kunakitu kama nyam au pip kina nikaba shingoni afu kina vuta apa kwenye chembe
Pole sana kijana ungelikwenda hospitali wakupime ili tupate kujuwa una maradhi gani hapo kwenye shingo yako itakuwa jambo jema ukienda hospitali kumuona Daktari kwanza. Kisha njoo hapa utupe feedback.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…