mkuu inahitajika kama dhamana ya kuonyesha una chochote cha kuanzia. ni moja ya documents ambazo zinahitajika mkuu, kwa yeyote mwenye kuguswa na hili naomba anisaidie, nitampatia hela ya vocha kidogo (50,000)fafanua bank statement imefanyeje wamekwambaje?
mkuu inahitajika kama dhamana ya kuonyesha una chochote cha kuanzia. ni moja ya documents ambazo zinahitajika mkuu, kwa yeyote mwenye kuguswa na hili naomba anisaidie, nitampatia hela ya vocha kidogo (50,000)
No haiitaji forgery mkuu statement itakuwa kwa jina lako kama unavyopewa bank.sijui kama kuna uwezekano wa kufanya forgeryKwenye hiyo bank statement inahitajika ya mwezi gani na kiasi gani? Na itabid ufanye forgery pia kwenye hiyo bank statement utakayoipata...
No haiitaji forgery mkuu statement itakuwa kwa jina lako kama unavyopewa bank.sijui kama kuna uwezekano wa kufanya forgery
inahitajika si zaidi ya miez 6 nyuma. Iwe kati ya sasa mpaka miezi 6 nyuma
Asanteni sana wana JF, nimefanikiwa kupata bank statement kutoka kwa muungwana mmoja humu humu JF. Namshukuru sana na nawashukuru wote.